Haya mpaka ulaya
Haya mpaka aziya
Ata kule amerika
Unalala mutoto njiyani
Unalala mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mutoto wa haya
Wuko inje hauliye
Ulisha kuzoweleya

Ina aca mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mi siweze kusahabu
Maco yake
Ananihangaliya
We haya wangu
Mi nitakosa majibu
Siku uta ni uliza
Ju ya nini ni vile ?
Ju ya nini wewe ?
Haya mpaka aziya
Ata kule amerika
Unalala mutoto njiyani
Unalala mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mutoto wa haya
Wuko inje hauliye
Ulisha kuzoweleya

Ina aca mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mi siweze kusahabu
Maco yake
Ananihangaliya
We haya wangu
Mi nitakosa majibu
Siku uta ni uliza
Ju ya nini ni vile ?
Ju ya nini wewe ?
Duniya ile Sambolera Oh wanayijifondeya Duniya yetu Sambolera Mbona wazimu mayi Watu wa duniya Sambole...
tangu iraki mpaka amerika wako karibu yakufunga vita mi mama mzazi nauliza ni nani ata linda watoto wetu b...
Ahiya Ahiya Kwa baraka Mimi napona Kabisa ni hajabu Sina mwili tena Niko sawa upepo Mimi masikini Si...
leo nasaili ju mimi sikuelewa mambo yale unasema embargo ni njiya ya kuleta amani kwangu kwa vile naona ni watu w...
Ni zamani sana mbele ya mbele Amani ingali fasi yoyote Ni zamani sana kama milele Ni adisi yako wewe ma mkubw...
heweye mama ikala cini pumuzika kidongo mayisha yako yote mama usiku na mucana unaha unaha unahangayika unatafuta ma...
tarehe makuni tatu na moja ya mwaka juzi umetuaca ukaji endeya bila kusema wuko wa wuko wa wuko wapi mwenyezi mu...
Mbali ya ma inchi yote Mbali ya Paris au Roma Kuna watu masikini Hawa liye hawa ombe Wana itika tu vile Wale wa...
analiya disiwe mume wake ajali haina kinga wala kafara anaenda kijana maladi inamushinda ana aca bibi na mu...
Una hangaliya inje una ona njala watoto wana liya cakula hawa juwe kama una ji uliza ata we mukubwa mpaka gani kila...
